forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
617 B
Markdown
28 lines
617 B
Markdown
# umri wa miaka ishirini na tatu
|
|
|
|
umri wa miaka mitatu - "umri wa miaka 23"
|
|
|
|
# Hamathi
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
|
|
|
# Libna ... Libna ... Hamathi
|
|
|
|
Haya ni majina ya maeneo.
|
|
|
|
# Yehoahazi alifanya yaliyo maovu usoni kwa Yahwe
|
|
|
|
"Uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo ... viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo.
|
|
|
|
# kumuweka kifungoni
|
|
|
|
Baada ya kumfunga kwa minyororo, huenda alimuweka katika gereza. "kumuweka katika kifungo"
|
|
|
|
# kuitoza Yuda
|
|
|
|
"kuwalzimisha watu wa Yuda kumpatia" (UDB)
|
|
|
|
# talanta mia moja ... talanta moja
|
|
|
|
Talanta moja ilikuwa kama kilogramu 33. "3,3000 kilogramu ... kilogramu 33"
|