forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
448 B
Markdown
28 lines
448 B
Markdown
# kamanda mkuu
|
|
|
|
"afisa kutoka Ashuru msimamizi chini ya mfalme"
|
|
|
|
# kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana
|
|
|
|
"aligundua kwamba jeshi la Ashuru lilikuwa likipigana"
|
|
|
|
# Libna ... Lakishi
|
|
|
|
Majina ya miji katika ufalme wa Yuda.
|
|
|
|
# Senakeribu ... Tirhaka
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# alihamasisha kupigana dhidi
|
|
|
|
"aliliandaa jeshi lake kupigana dhidi ya Ashuru"
|
|
|
|
# hivyo akamtuma
|
|
|
|
"hivyo Senakeribu aliwatuma"
|
|
|
|
# ujumbe
|
|
|
|
Huu ujumbe uliandikwa katika barua.
|