forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
511 B
Markdown
16 lines
511 B
Markdown
# siku hii ni siku ya mateso
|
|
|
|
Hapa "siku" ni neno lenye maana sawa na mda. "Huu ni wakati wa dhiki"
|
|
|
|
# wakati umewadia watoto kuzaliwa, lakini hakuna nguvu ili wazaliwe
|
|
|
|
Hii ni picha ya kuelezea jinsi watu na viongozi wao wamekuwa wadhaifu na kutoweza kupigana na adui.
|
|
|
|
# maneno yote
|
|
|
|
"Maneno" ni neno lenye maana sawa na ule ujumbe wa maneno.
|
|
|
|
# inua maombi yako juu
|
|
|
|
Hii ni njia ya kawaida (neno) kutumia tendo la kuinua picha ya kuwakilisha maombi kwa bidii kwa Yahwe ambaye yuko juu yetu. "omba kwa bidii"
|