forked from WA-Catalog/sw_tn
522 B
522 B
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu
Mwaka wa saba wa Yeroboamu - huu ni mwaka wa ishirini na saba wa utawala wake. "Katika mwaka wa 27 wa utawala wa Yeroboamu"
Azaaria
Huyu mfalme anajulikana vizuri leo kwa jina la Uziya."
Yekolia
Hili ni jina la mama yake na Amazia
Alifanya yaliyo sahihi
"Amazia alifanya yaliyo sahihi"
yaliyo sahihi katika macho ya Yahwe
Neno "macho ya Yahwe" linasimama kwa ajili ya uso wa Yahwe, ambao ni badala ya hukumu ya Yahwe. "yaliyo sahihi katika hukumu ya Yahwe"