forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
730 B
Markdown
24 lines
730 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Hadithi ya kanuni ya Amazia kama mfalme wa Yuda inaednelea.
|
|
|
|
# Lakini mahali pa juu hapakuwa pamechukuliwa
|
|
|
|
Mahali pa juu palikuwa pakitumika kwa ajili ya kuabudu kipagani. "Lakini hakupaondoa mahali pajuu"
|
|
|
|
# kutoa sadaka na kufukiza ubani hapo mahali pa juu
|
|
|
|
"Mahali pa juu palitumika kwa ajili ya kuabudu kipagani. "kutoa sadaka na kufukiza ubani kwa miungu ya kipagani mahali pa juu"
|
|
|
|
# Ikawa mara
|
|
|
|
Hii inatumika kutambulisha tukio jipya.
|
|
|
|
# mapema kama kanuni yake ilipokuwa imeanzishwa vizuri
|
|
|
|
"mapema kama Amazia alipotambulisha kanuni ya kifalme na mamlaka ya kifalme"
|
|
|
|
# aliwaua watumishi
|
|
|
|
Amazia ni kama aliwaagiza watu wengine kuwaua maafisa. "aliwafanya watumishi wake kuwatekeleza maafisa" (UDB)
|