forked from WA-Catalog/sw_tn
326 B
326 B
Wana wa manabii
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii.
twendeni Yoradani
Hii inarejea kwenye eneo la Mto Yordani. "twendeni karibu na Mto Yordani"
watumishi wako
Hapa mmoja wa nabii anarejewa kwa wana wa manabii kama watumishi wa Elisha kumuonyesha heshima.