sw_tn/2ki/06/01.md

12 lines
326 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Wana wa manabii
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii.
# twendeni Yoradani
Hii inarejea kwenye eneo la Mto Yordani. "twendeni karibu na Mto Yordani"
# watumishi wako
Hapa mmoja wa nabii anarejewa kwa wana wa manabii kama watumishi wa Elisha kumuonyesha heshima.