forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
326 B
Markdown
12 lines
326 B
Markdown
|
# Wana wa manabii
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii.
|
||
|
|
||
|
# twendeni Yoradani
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwenye eneo la Mto Yordani. "twendeni karibu na Mto Yordani"
|
||
|
|
||
|
# watumishi wako
|
||
|
|
||
|
Hapa mmoja wa nabii anarejewa kwa wana wa manabii kama watumishi wa Elisha kumuonyesha heshima.
|