forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
610 B
Markdown
16 lines
610 B
Markdown
# vazi
|
|
|
|
Vazi lilikuwa vazi la mnyama la nabii. Ilikuwa alama ya kazi yake. Wakati Elisha alipochukua vazi lake alikuwa akisema alikuwa akichukua nafasi ya Elisha kama nabii.
|
|
|
|
# Yhawe yuko wapi, Mungu wa Eliya?
|
|
|
|
Elisha anauliza kama Yahwe yu pamoja naye kama alivyokuwa na Eliya. "Yahwe, Mungu wa Eliya, je uko pamoja nami hapa?"
|
|
|
|
# ziligawanyika katika sehemu zote na Elisha akapita
|
|
|
|
Mto uligawanyika na Elisha akatembea upande wa pili wa nchi kavu, vivyo hivyo akafanya kama awali wakati alipokuwa na Eliya.
|
|
|
|
# pande zote
|
|
|
|
"hata kulia na kushoto." Hii inarejea kwa kulia na kushoto ambapo Eliya alipiga maji.
|