sw_tn/2jn/01/09.md

678 B

Yeyote aendeleae mbele

Hii inaonyesha mtu anaye dai kufahamu zaidi juu ya Mungu na ukweli kuliko mtu yeyote "Yeyote anayesema kuwa anafahamu zaidi kuhusu Mungu." au " Yeyote anayeikana kweli"

hana Mungu

" si mali ya Mungu"

Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana

"Wale wanaofuata mafundish ya Kristo ni mali ya Baba na Mwana"

Baba na Mwana

Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu

msimkaribishe katika nyumba zenu

Hapa ina maanisha kumkaribisha na kumtendea heshima ili kujenga uhusiano na naye.

hushiriki katika matendo yake maovu

" Hushiriki naye katika matendo yake ya uovu" au" humsaidia katika matendo yake maovu."