sw_tn/2jn/01/04.md

758 B

...wewe, mwanamke, nakuandikia

Ni maneno ambayo yametumiwa katika hali ya umoja.

kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba

"Kama vile Mungu Baba alivyo tuagiaza"

siyo kwamba nakuandikia amri mpya

" siyo kwamba nakuagiza kufanya jambo jipya"

bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo

Hapa neno "mwanzo" inamaanisha " tulipoamini kwa mara ya kwanza" kwa maneno mengine:- " lakini nawaandikia kama tulivyoagizwa na Kristo kufanya tulipoamini mara ya kwanza."

tunapaswa kupendana sisi kwa sisi.

Hii inaweza kutafisiriwa kama sentensi mpya: "Na alitupa amri kwamba tunapaswa kupendana."

Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.

" Mungu amewaagiza tangu mwanzo mlipoamini mpendane"