forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
611 B
Markdown
20 lines
611 B
Markdown
# mapigo arobaini kasoro moja
|
|
|
|
hii ilikuwa kawaida kueleza kuwa nimechapwa viboko 39. Viboko arobaini[40] inadhaniwa ni kuua mtu.
|
|
|
|
# Nilipigwa kwa fimbo
|
|
|
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji hivi: "watu walinipiga kwa viboko vya miti"
|
|
|
|
# "nilipigwa kwa mawe"
|
|
|
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii:"watu walinitupia mawe mpaka wakadhania kuwa nimekufa"
|
|
|
|
# Nimetumia usiku na mchana katika bahari wazi
|
|
|
|
Paulo anazungumzia muda aliokuwa majini wakati meli ilipokuwa katika kuzama.
|
|
|
|
# hatarini kwa ndugu za uongo
|
|
|
|
"na hatari toka kwa wanaojifanya kuwa ndugu katika Kristo, lakini ni wametusaliti"
|