forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
493 B
Markdown
12 lines
493 B
Markdown
# Na hii haishangazi...Hii haina mshangao mkubwa kama
|
|
|
|
kwa kusema hivi, huu ni mtazamo hasi Paulo anasisitiza kuwa Wakorintho wanpaswa kutarajia kukutana na "mitume wengi wa uongo"
|
|
|
|
# Shetani hujigeuza mwenyewe kama malaika wa nuru
|
|
|
|
"Shetani siyo malaika wa nuru, akini hujaribu kujifanya mwenyewe kuwa kama malaika wa nuru"
|
|
|
|
# watumishi wake pia kujigeuza wenyewe kama watumishi wa haki.
|
|
|
|
"watumishi wake siyo watumishi wa haki, lakini hujaribu kujifanya wenyewe kuwa kama watumishi wa haki"
|