Hatujajivuna kupita mipaka
Hii ni nahau: "hatukujivuna juu vitu ambavyo hatukuwa na mamlaka navyo"
eneo letu la kazi litapanuliwa
Sentensi hii yaweza kueleza kwa namna ya utendaji: "Mungu atazidi kupanua eneo letu la kazi"
katika maeneo mengine.
"eneo ambalo Mungu amemtuma mtu fulani"