forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
872 B
Markdown
20 lines
872 B
Markdown
# tunaenenda katika mwili
|
|
|
|
Neno mwili: " ni neno mbadala lililotumika kuelezea maisha ya kimwili"
|
|
|
|
# hatupigani vita ...tunapigana
|
|
|
|
Paulo anazungumzakujaribu kuwashawishi Wakorintho kumwamini na siyo waalimu wa uongo ka vile alivyokuwa akipambana vita vya mwili.
|
|
|
|
# pigana vita kwa jinsi ya mwili
|
|
|
|
Maana zawezakuwa hizi: neno " mwili" ni neno linalosimama kuwakilisha maisha ya mwili" au neno "/mwili" ni neno linalosimama badala ya asili ya mwandamu ya dhambi "
|
|
|
|
# silaha tunazotumia kupigana...zinaondosha kabisa mijadala inayopotosha
|
|
|
|
Paulo anazungumzia hekima ya kimungu akionyesha hekima ya kibinadamu kuwa ya uongo na kama silaha ambayo kwayo alikuwa akiharibu nguvu za adui.
|
|
|
|
# si za kimwili
|
|
|
|
Maana zawezakuwa hizi: neno " mwili" ni neno linalosimama kuwakilisha maisha ya mwili" au neno "/mwili" ni neno linalosimama badala ya asili ya mwandamu ya dhambi "
|