forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
383 B
Markdown
12 lines
383 B
Markdown
# aliyeweka ndani ya moyo wa Tito moyo uleule wa bidii ya kujali ambyo ninayo kwa ajili yenu
|
|
|
|
Neno " moyo" linamaanisha hisia. Hii ina maana kwamba Mungu alimtumia Tito kuwapenda.
|
|
|
|
# moyo uleule wa bidii ya kujali
|
|
|
|
"shauku ileile au " kujihusiha kwa ndani"
|
|
|
|
# Kwa kuwa si tu alipokea maombi yetu
|
|
|
|
Paulo ana maanisha ombi lake Tito kurejea Korintho na kukamilisha mchango wa fedha.
|