sw_tn/2co/06/17.md

12 lines
318 B
Markdown

# Habari za Jumla
paulo ananukuu sehemu kutoka manabii wa Agano la Kale, Isaya na Ezekeieli.
# mkatengwe
Sentensi hii yaweza kuelezwa katika kauli tendaji: " mkajitenge" au " mniruhusu mimi niwatenge"
# Msiguse kitu kichafu,
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa namna ya kukubali: "Gusa vitu ambavyo ni visafi pekee"