forked from WA-Catalog/sw_tn
318 B
318 B
Habari za Jumla
paulo ananukuu sehemu kutoka manabii wa Agano la Kale, Isaya na Ezekeieli.
mkatengwe
Sentensi hii yaweza kuelezwa katika kauli tendaji: " mkajitenge" au " mniruhusu mimi niwatenge"
Msiguse kitu kichafu,
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa namna ya kukubali: "Gusa vitu ambavyo ni visafi pekee"