forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
861 B
Markdown
32 lines
861 B
Markdown
# roho ileile ya imani
|
|
|
|
'nia ileile ya imani"Hapa neno" roho" linamaanisha nia ya mtu na silika.
|
|
|
|
# kulingana na kile kilicho andikwa
|
|
|
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji." kama mmoja yule anayeandika maneno haya"
|
|
|
|
# Niliamini, na hivyo nilinena
|
|
|
|
Hii ni rejea ktoka katika kitabu cha Zaburi.
|
|
|
|
# yule aliye mfufua Bwana Yesu pia atatufufua sisi pamoja naye
|
|
|
|
Neno "yuleyule"linamaanisha Mungu"
|
|
|
|
# atatufufua sisi pamoja naye
|
|
|
|
Neno "sisi" linawatenga Wakorintho.
|
|
|
|
# Kila kitu ni kwa ajili yenu
|
|
|
|
Neno "kila kitu" linamaanisha mateso yote ambayo Paulo aliyoyaelelza katika mistari iliyotangulia.
|
|
|
|
# neema inavyo enea kwa watu wengi
|
|
|
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa kwa jinsi hii "kama Mungu anavyoeneza neema yake kwa watu wengi"
|
|
|
|
# shukurani zizidi kuongezeka
|
|
|
|
Paulo anazungumzia shukrani kuwa kama kitu ambacho kingekuja kuwa kikubwa kwa chenyewe.
|