forked from WA-Catalog/sw_tn
830 B
830 B
Bali Kristo Yesu kama Bwana, na sisi wenyewe kama watumishi wenu
Unaweza ukaligawa tendo katika tungo hizi"Bali twamtangaza Kristo Yesu kuwa Bwana na tunatangaza sisi wenyewe kama watumishi wenu.
Kwa faida ya Kristo
"kwa sababu ya Yesu"
Nuru itang'aa toka gizani
Kwa sentensi hii, Paulo anarejea kwa Mungu kuumba nuru, kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Mwanzo.
Ameangaza katika mioyo yetu, kutoa mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu
Hapa neno "nuru" lina maanisha uwezo wa kuelewa.Kama vile Mungu alivyoumba nuru, yeye pia huumba ufahamu kwa waamini.
katika mioyo yetu
Hapa neno " mioyo" lina maanisha akili na mawazo
mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu
"nuru , ambayo ni maarifa ya utukufu wa Mungu"
utukufu wa Mungu katika uwepo wa Yesu Kristo.
"utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo."