forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
830 B
Markdown
28 lines
830 B
Markdown
|
# Bali Kristo Yesu kama Bwana, na sisi wenyewe kama watumishi wenu
|
||
|
|
||
|
Unaweza ukaligawa tendo katika tungo hizi"Bali twamtangaza Kristo Yesu kuwa Bwana na tunatangaza sisi wenyewe kama watumishi wenu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa faida ya Kristo
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ya Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Nuru itang'aa toka gizani
|
||
|
|
||
|
Kwa sentensi hii, Paulo anarejea kwa Mungu kuumba nuru, kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Mwanzo.
|
||
|
|
||
|
# Ameangaza katika mioyo yetu, kutoa mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "nuru" lina maanisha uwezo wa kuelewa.Kama vile Mungu alivyoumba nuru, yeye pia huumba ufahamu kwa waamini.
|
||
|
|
||
|
# katika mioyo yetu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno " mioyo" lina maanisha akili na mawazo
|
||
|
|
||
|
# mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"nuru , ambayo ni maarifa ya utukufu wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# utukufu wa Mungu katika uwepo wa Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
"utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo."
|