forked from WA-Catalog/sw_tn
831 B
831 B
Niliandika kama nilivyofanya
Hiki kinarejea barua nyingine ya Paulo aliyokuwa ameiandika kwa wakristo wa Korintho ambaye haipo." Niliandika kama nilivyofanya katika barua zangu za awali"
Nisingeumizwa na wale waliopaswa kunifanya mimi nifurahi
Paulo anazungumzia kuhusu mwenendo wa baaadhi ya wakristo wa Korintho waliomsababishia yeye maumivu ya kisaikolojia .Hiki kinaweza kuelezwa kwajinsi ya kauli tendaji " wale wliopaswa kunifanya mimi nifurahi wasingeniumiza"
fuaha yangu ni ni furaha ile ile mliyo nayo nyote
"Kile kinachonipa mimi kufurahi ni kile kile kinachowapa ninyi furaha pia"
kutoka katika "mateso" makubwa
Hapa neno "mateso" linaelezea maumivu ya hisia
kwa dhiki ya moyo
Sehemu hii neno "moyo" linamaanisha mahali pa hisia." na huzuni kubwa"
na kwa machozi mengi
"na kwa kulia kwingi"