forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
831 B
Markdown
24 lines
831 B
Markdown
|
# Niliandika kama nilivyofanya
|
||
|
|
||
|
Hiki kinarejea barua nyingine ya Paulo aliyokuwa ameiandika kwa wakristo wa Korintho ambaye haipo." Niliandika kama nilivyofanya katika barua zangu za awali"
|
||
|
|
||
|
# Nisingeumizwa na wale waliopaswa kunifanya mimi nifurahi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia kuhusu mwenendo wa baaadhi ya wakristo wa Korintho waliomsababishia yeye maumivu ya kisaikolojia .Hiki kinaweza kuelezwa kwajinsi ya kauli tendaji " wale wliopaswa kunifanya mimi nifurahi wasingeniumiza"
|
||
|
|
||
|
# fuaha yangu ni ni furaha ile ile mliyo nayo nyote
|
||
|
|
||
|
"Kile kinachonipa mimi kufurahi ni kile kile kinachowapa ninyi furaha pia"
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika "mateso" makubwa
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mateso" linaelezea maumivu ya hisia
|
||
|
|
||
|
# kwa dhiki ya moyo
|
||
|
|
||
|
Sehemu hii neno "moyo" linamaanisha mahali pa hisia." na huzuni kubwa"
|
||
|
|
||
|
# na kwa machozi mengi
|
||
|
|
||
|
"na kwa kulia kwingi"
|