forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
703 B
Markdown
16 lines
703 B
Markdown
# Kwa maana Mwana wa Mungu... siyo "Ndiyo" na "Hapana." Badala yake yeye ni "Ndiyo" daima."
|
|
|
|
Yesu husema "Ndiyo" daima kuhusiana na ahadi za Mungu, ambazo zinamaanisha kwamba anathibitisha kwamba wako sahihi . Kwa kuwa Mwana wa Mungu ...hasemi " Ndiyo" na " Hapana "kuhusina na ahadi za Mungu. Badala yake husema "Ndiyo" daima
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu cha Yesu ambacho kinaelezea uhusano kwa Mungu
|
|
|
|
# ahadi zote za Mungu ni "ndiyo" katika yeye
|
|
|
|
Hii ni kumaanisha kwamba Yesu anahakikisha anatimiza yote yale ambayo Mungu ameahidi katika Kristo Yesu. "Ahadi zote za Mungu zinathibitishwa katika Yesu Kristo"
|
|
|
|
# "Ndiyo" katika yeye...kupitia yeye
|
|
|
|
Neno "yeye" linarejea kwa Yesu Kristo.
|