forked from WA-Catalog/sw_tn
787 B
787 B
Tunaona fahari juu ya hili..sababu yenu ya kujisifu
"Maneno "kujisifu" na kuona fahari " yametumika hapa katika mtazamo chanya wa utoshelevu wa hisia kubwa na furaha katka kitu fulani.
ushuhuda wa dhamiri zetu
Fikra za Paulo na Timotheo kuhusu matendo yao yashuhudia kwamba wameishi katika njia impendezayo Mungu.
siyo katika hekima ya kidunia
Neno "ya kidunia" linaeleza kile kinachotambulisha jamii ya wanadamu ambayo haimchi Mungu. "siyo kwa kufuata hekima ya kibinadamu"
hatuwaandikii chochote msichoweza kukisoma au kukielewa
Hii inaweza kuelezwa kuwa "Mnaweza kukisoma na kukielewa kila kitu tunachowaandikieni"
kama vile mtakavyokuwa wetu
"Unaweza kuyagawa maneno "Sababu yetu kuona fahari" kujaza duaradufu. "kama mtakavyokuwa sababu yetu ya kuona fahari"