sw_tn/2ch/20/27.md

8 lines
210 B
Markdown

# Kila mtu wa Yuda na Yerusalemu.
Hii ni namna ya kusema kwamba kila mwanaume aendaye vitani.
# Yehoshafati katika uongozi wao.
Mfalme Yehoshafati alikuwa mbele ya jeshi lote walipokuwa wakirudi Yerusalemu.