forked from WA-Catalog/sw_tn
372 B
372 B
Unabii wa Odedi nabii
Matoleo mengi, likiwemo na UDB, yanasomeka, "Unabii wa Azaria, mwana wa Odedi nabii." Yanasomeka hivyo ili kuleta ujumbe unaokubaliana na 15:1. Watafsiri bila shaka watataka kufanya maana hii hii katika matoleo yao.
Kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza
"Aliziondoa sanamu"
Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye
"Yahwe alikuwa akimsaidia".