forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
372 B
Markdown
12 lines
372 B
Markdown
|
# Unabii wa Odedi nabii
|
||
|
|
||
|
Matoleo mengi, likiwemo na UDB, yanasomeka, "Unabii wa Azaria, mwana wa Odedi nabii." Yanasomeka hivyo ili kuleta ujumbe unaokubaliana na 15:1. Watafsiri bila shaka watataka kufanya maana hii hii katika matoleo yao.
|
||
|
|
||
|
# Kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza
|
||
|
|
||
|
"Aliziondoa sanamu"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye
|
||
|
|
||
|
"Yahwe alikuwa akimsaidia".
|