sw_tn/2ch/14/09.md

12 lines
293 B
Markdown

# Taarifa za jumla:
Zera alikuwa mfalme wa Ethiopia, ambaye alitoka na jeshi la wanajeshi milioni moja (1,000,000), na magari mia tatu (300) kwenda kupigana na mfalme Asa.
# Maresha
Maresha ulikuwa mji katika Yuda
# Usimuache mtu akushinde
"Enyi watu msiwaruhusu watu wengine kuwashinda"