Kila mmoja akilijua pigo na huzuni katika moyo wake.
Maana yake yaweza kuwa: "akijua dhambi katika moyo wake" au "akijua moyoni mwake kwamba mapigo na hudhuni ni matokeo ya dhambi zake mwenyewe".
Akinyosha mikono yake.
Angalia tafsir ya mstari wa 2:12.
Njia zake zote.
"Alichofanya".