sw_tn/2ch/06/12.md

12 lines
270 B
Markdown

# Mbele ya kusanyiko lote la Israeli.
"Mbele ya watu wa Israeli ambao walikuwa wamekusanyika huko."
# Mikono.
Kipimo cha zamani.
# Akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu.
Selemani alinyosha mikono yake na kuilekeza juu huku akipiga magoti juu ya jukwaa ili aombe.