sw_tn/2ch/05/11.md

12 lines
378 B
Markdown

# Asafu, Hemani, Yeduthuni.
Watatu hao hao waliongoza ibada wakati Daudi alipolileta sanduku la agano Yerusalem. Baadaye Daudi aliwachagua kuwa wanamziki wa hekalu. (Tazama: tafsiri ya majina).
# Wana na ndugu.
"ndugu zao" au "uzao wao".
# Matoazi.
Sahani mbili nyembamba za chuma, ambazo hupigwa pamoja ili kufanya mlio mkubwa (Tazama: tafsiri ya maneno yasiyojulikana).