forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
378 B
Markdown
12 lines
378 B
Markdown
|
# Asafu, Hemani, Yeduthuni.
|
||
|
|
||
|
Watatu hao hao waliongoza ibada wakati Daudi alipolileta sanduku la agano Yerusalem. Baadaye Daudi aliwachagua kuwa wanamziki wa hekalu. (Tazama: tafsiri ya majina).
|
||
|
|
||
|
# Wana na ndugu.
|
||
|
|
||
|
"ndugu zao" au "uzao wao".
|
||
|
|
||
|
# Matoazi.
|
||
|
|
||
|
Sahani mbili nyembamba za chuma, ambazo hupigwa pamoja ili kufanya mlio mkubwa (Tazama: tafsiri ya maneno yasiyojulikana).
|