forked from WA-Catalog/sw_tn
318 B
318 B
Aliimarishawa katka utawala wake
"Selemani alitumia nguvu kubwa juu ya Israeli"
Yahwe
Hili ni jina la Mungu alilojifunulia kwa watu wake katika Agano la Kale. Angalia ukurasa wa tafisiri ya Neno Yahwe kuhusu namna ya kutafsri neno hili
Mungu alikuwa pamoja naye
"Mungu alimshika mkono" au "Mungu alimsaidia