forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
318 B
Markdown
12 lines
318 B
Markdown
|
# Aliimarishawa katka utawala wake
|
||
|
|
||
|
"Selemani alitumia nguvu kubwa juu ya Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu alilojifunulia kwa watu wake katika Agano la Kale. Angalia ukurasa wa tafisiri ya Neno Yahwe kuhusu namna ya kutafsri neno hili
|
||
|
|
||
|
# Mungu alikuwa pamoja naye
|
||
|
|
||
|
"Mungu alimshika mkono" au "Mungu alimsaidia
|