forked from WA-Catalog/sw_tn
598 B
598 B
Sentensi unganishi:
Paulo anaongea juu ya ujio wa Kristo, anatoa maelekezo stahiki kwa matajiri, na mwisho anamaliza na ujumbe muhimu kwa Timotheo.
Nakupa amri hii
Hivi ndivyo ninavyokuamuru
mbele ya Mungu
katika uwepo wa Mungu. Inaonekana ni kama Paulo anamwomba Mungu kuwa shahidi wake
mbele ya Kristo
katika uwepo wa Kristo. Inaonekama ni kama Paulo anamwomba Yesu kuwa shahidi wake
pasipo mashaka
Maana tarajiwa 1) Yesu hataona kosa kwa Timotheo au 2) watu wengine hawataona kosa kwa Timotheo
ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo
mpaka Bwana wetu Yesu Kristo atakapokuja tena