sw_tn/1ti/06/13.md

598 B

Sentensi unganishi:

Paulo anaongea juu ya ujio wa Kristo, anatoa maelekezo stahiki kwa matajiri, na mwisho anamaliza na ujumbe muhimu kwa Timotheo.

Nakupa amri hii

Hivi ndivyo ninavyokuamuru

mbele ya Mungu

katika uwepo wa Mungu. Inaonekana ni kama Paulo anamwomba Mungu kuwa shahidi wake

mbele ya Kristo

katika uwepo wa Kristo. Inaonekama ni kama Paulo anamwomba Yesu kuwa shahidi wake

pasipo mashaka

Maana tarajiwa 1) Yesu hataona kosa kwa Timotheo au 2) watu wengine hawataona kosa kwa Timotheo

ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo

mpaka Bwana wetu Yesu Kristo atakapokuja tena