forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
598 B
Markdown
24 lines
598 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongea juu ya ujio wa Kristo, anatoa maelekezo stahiki kwa matajiri, na mwisho anamaliza na ujumbe muhimu kwa Timotheo.
|
||
|
|
||
|
# Nakupa amri hii
|
||
|
|
||
|
Hivi ndivyo ninavyokuamuru
|
||
|
|
||
|
# mbele ya Mungu
|
||
|
|
||
|
katika uwepo wa Mungu. Inaonekana ni kama Paulo anamwomba Mungu kuwa shahidi wake
|
||
|
|
||
|
# mbele ya Kristo
|
||
|
|
||
|
katika uwepo wa Kristo. Inaonekama ni kama Paulo anamwomba Yesu kuwa shahidi wake
|
||
|
|
||
|
# pasipo mashaka
|
||
|
|
||
|
Maana tarajiwa 1) Yesu hataona kosa kwa Timotheo au 2) watu wengine hawataona kosa kwa Timotheo
|
||
|
|
||
|
# ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
mpaka Bwana wetu Yesu Kristo atakapokuja tena
|