sw_tn/1ti/06/13.md

24 lines
598 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi:
Paulo anaongea juu ya ujio wa Kristo, anatoa maelekezo stahiki kwa matajiri, na mwisho anamaliza na ujumbe muhimu kwa Timotheo.
# Nakupa amri hii
Hivi ndivyo ninavyokuamuru
# mbele ya Mungu
katika uwepo wa Mungu. Inaonekana ni kama Paulo anamwomba Mungu kuwa shahidi wake
# mbele ya Kristo
katika uwepo wa Kristo. Inaonekama ni kama Paulo anamwomba Yesu kuwa shahidi wake
# pasipo mashaka
Maana tarajiwa 1) Yesu hataona kosa kwa Timotheo au 2) watu wengine hawataona kosa kwa Timotheo
# ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo
mpaka Bwana wetu Yesu Kristo atakapokuja tena