forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
395 B
Markdown
16 lines
395 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anatoa maagizo maalumu juu ya watumwa na bwana zao kisha maelekezo ya namna ya kuishi maisha ya kimungu.
|
|
|
|
# wale wote walio chini ya nira kawa watumwa
|
|
|
|
Paulo anaongea juu ya watu wanaofanya kazi kama watumwa kwamba ni kama ng'ombe wanaobeba nira
|
|
|
|
# wale wote
|
|
|
|
kwa kauli hii Paulo anamaanisha walioamini
|
|
|
|
# jina la Mungu
|
|
|
|
hii inamaanisha asili ya Mungu, au tabia yake
|