sw_tn/1ti/06/01.md

16 lines
395 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Paulo anatoa maagizo maalumu juu ya watumwa na bwana zao kisha maelekezo ya namna ya kuishi maisha ya kimungu.
# wale wote walio chini ya nira kawa watumwa
Paulo anaongea juu ya watu wanaofanya kazi kama watumwa kwamba ni kama ng'ombe wanaobeba nira
# wale wote
kwa kauli hii Paulo anamaanisha walioamini
# jina la Mungu
hii inamaanisha asili ya Mungu, au tabia yake