sw_tn/1ti/06/01.md

395 B

Sentensi unganishi

Paulo anatoa maagizo maalumu juu ya watumwa na bwana zao kisha maelekezo ya namna ya kuishi maisha ya kimungu.

wale wote walio chini ya nira kawa watumwa

Paulo anaongea juu ya watu wanaofanya kazi kama watumwa kwamba ni kama ng'ombe wanaobeba nira

wale wote

kwa kauli hii Paulo anamaanisha walioamini

jina la Mungu

hii inamaanisha asili ya Mungu, au tabia yake