forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
891 B
Markdown
40 lines
891 B
Markdown
# Lakini mjane halisi ameachwa peke yake
|
|
|
|
"Lakini yule ambaye ni kweli mjane hana familia"
|
|
|
|
# yeye daima husubiri mbele yake kwa maombi na sala
|
|
|
|
"husubiri kwa uvumilivu kwa maombi yake na sala"
|
|
|
|
# maombi na sala
|
|
|
|
maneno haya mawili maana kimsingi yana maana moja. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kusisitiza kiasi gani wajane hawa huomba.
|
|
|
|
# usiku na mchana
|
|
|
|
maneno "usiku" na "siku" hutumiwa pamoja kumaanisha "wakati wote."
|
|
|
|
# Hata hivyo
|
|
|
|
"Lakini"
|
|
|
|
# wafu
|
|
|
|
mfano Huu unamaana kwamba yeye hana uwezo wa kumjibibu Mungu. "ni kama mtu aliekufa, hana la kujibu kwa Mungu"
|
|
|
|
# hai
|
|
|
|
Hii ina maana ya maisha ya kimwili.
|
|
|
|
# yeye daima husubiri kwa maombi na sala
|
|
|
|
"Anaendelea kufanya maombi na sala"
|
|
|
|
# amekufa
|
|
|
|
Paulo anaongea kuhusu watu ambao hawamtafuti Mungu na kumpendeza kama walikua wafu. "ni kama mtu aliekufa, hana la kujibu kwa Mungu"
|
|
|
|
# bado yu hai
|
|
|
|
Hii ina maana ya maisha ya kimwili.
|