sw_tn/1ti/05/05.md

891 B

Lakini mjane halisi ameachwa peke yake

"Lakini yule ambaye ni kweli mjane hana familia"

yeye daima husubiri mbele yake kwa maombi na sala

"husubiri kwa uvumilivu kwa maombi yake na sala"

maombi na sala

maneno haya mawili maana kimsingi yana maana moja. Paulo anayatumia kwa pamoja ili kusisitiza kiasi gani wajane hawa huomba.

usiku na mchana

maneno "usiku" na "siku" hutumiwa pamoja kumaanisha "wakati wote."

Hata hivyo

"Lakini"

wafu

mfano Huu unamaana kwamba yeye hana uwezo wa kumjibibu Mungu. "ni kama mtu aliekufa, hana la kujibu kwa Mungu"

hai

Hii ina maana ya maisha ya kimwili.

yeye daima husubiri kwa maombi na sala

"Anaendelea kufanya maombi na sala"

amekufa

Paulo anaongea kuhusu watu ambao hawamtafuti Mungu na kumpendeza kama walikua wafu. "ni kama mtu aliekufa, hana la kujibu kwa Mungu"

bado yu hai

Hii ina maana ya maisha ya kimwili.