sw_tn/1ti/01/15.md

447 B

Ujumbe huu ni wa kweli

"Kauli hii ni ya kweli"

unaofaa kukubalika

"unaweza kupokelewa bila mashaka yoyote" au "unatakiwa kukubalika kwa ujasiri wote"

kwanza nilikuwa nimepata rehema

"kwanza Mungu alinionesha neema" au "Nilipewa neema kutoka kwa Mungu kwanza"

mfalme mkongwe

"mfalme wa milele" au "mtawala mkuu wa milele"

iwe heshima na utukufu

"aweze kuheshimiwa na kupewa utukufu" au "watu waweze kumweshimu na kukupa utukufu"