sw_tn/1ti/01/05.md

40 lines
907 B
Markdown

# sasa
Neno limetumika hapa kuonesha kituo kwenye mafundisho ya msingi. Hapa Paulo anaeleza lengo la kile anachomwamuru Tithotheo.
# amri
Hii haimaanishi Agano la Kale au Amri Kumi lakini zaidi ni wajibu uliotolewa na Paulo kwenye 1:3.
# ni pendo
Inawezekana kumaanisha 1) upendo kwa Mungu au 2) kuwapenda watu.
# kutoka moyo safi
Hapa "safi" inamaanisha kuwa mtu hana nia ovu ya kufanya mabaya. Na "moyo" hapa inamaanisha akili na mawazo ya mtu.
# dhamiri nzuri
"dhamiri ambayo imechagua haki juu ya mabaya"
# imani thabiti
"uaminifu" au "ukweli" au "isiyo na unafiki"
# baadhi ya watu wamekosea
Paulo anaongelea imani ndani ya Kristo kuwa shabaha yetu.
# na wameasi vitu hivi
"kuasi" kama ilivyotumika hapa ni msemo unaomaanisha kuwa watu wameacha kufanya maagizo ya Mungu.
# walimu wa sheria
Hii inamaanisha "sheria za Musa"
# Lakini hawaelewi
"ingawa hawaelewi" au "lakini hawaelewi"