forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
907 B
Markdown
40 lines
907 B
Markdown
# sasa
|
|
|
|
Neno limetumika hapa kuonesha kituo kwenye mafundisho ya msingi. Hapa Paulo anaeleza lengo la kile anachomwamuru Tithotheo.
|
|
|
|
# amri
|
|
|
|
Hii haimaanishi Agano la Kale au Amri Kumi lakini zaidi ni wajibu uliotolewa na Paulo kwenye 1:3.
|
|
|
|
# ni pendo
|
|
|
|
Inawezekana kumaanisha 1) upendo kwa Mungu au 2) kuwapenda watu.
|
|
|
|
# kutoka moyo safi
|
|
|
|
Hapa "safi" inamaanisha kuwa mtu hana nia ovu ya kufanya mabaya. Na "moyo" hapa inamaanisha akili na mawazo ya mtu.
|
|
|
|
# dhamiri nzuri
|
|
|
|
"dhamiri ambayo imechagua haki juu ya mabaya"
|
|
|
|
# imani thabiti
|
|
|
|
"uaminifu" au "ukweli" au "isiyo na unafiki"
|
|
|
|
# baadhi ya watu wamekosea
|
|
|
|
Paulo anaongelea imani ndani ya Kristo kuwa shabaha yetu.
|
|
|
|
# na wameasi vitu hivi
|
|
|
|
"kuasi" kama ilivyotumika hapa ni msemo unaomaanisha kuwa watu wameacha kufanya maagizo ya Mungu.
|
|
|
|
# walimu wa sheria
|
|
|
|
Hii inamaanisha "sheria za Musa"
|
|
|
|
# Lakini hawaelewi
|
|
|
|
"ingawa hawaelewi" au "lakini hawaelewi"
|