forked from WA-Catalog/sw_tn
907 B
907 B
sasa
Neno limetumika hapa kuonesha kituo kwenye mafundisho ya msingi. Hapa Paulo anaeleza lengo la kile anachomwamuru Tithotheo.
amri
Hii haimaanishi Agano la Kale au Amri Kumi lakini zaidi ni wajibu uliotolewa na Paulo kwenye 1:3.
ni pendo
Inawezekana kumaanisha 1) upendo kwa Mungu au 2) kuwapenda watu.
kutoka moyo safi
Hapa "safi" inamaanisha kuwa mtu hana nia ovu ya kufanya mabaya. Na "moyo" hapa inamaanisha akili na mawazo ya mtu.
dhamiri nzuri
"dhamiri ambayo imechagua haki juu ya mabaya"
imani thabiti
"uaminifu" au "ukweli" au "isiyo na unafiki"
baadhi ya watu wamekosea
Paulo anaongelea imani ndani ya Kristo kuwa shabaha yetu.
na wameasi vitu hivi
"kuasi" kama ilivyotumika hapa ni msemo unaomaanisha kuwa watu wameacha kufanya maagizo ya Mungu.
walimu wa sheria
Hii inamaanisha "sheria za Musa"
Lakini hawaelewi
"ingawa hawaelewi" au "lakini hawaelewi"