sw_tn/1ti/01/05.md

907 B

sasa

Neno limetumika hapa kuonesha kituo kwenye mafundisho ya msingi. Hapa Paulo anaeleza lengo la kile anachomwamuru Tithotheo.

amri

Hii haimaanishi Agano la Kale au Amri Kumi lakini zaidi ni wajibu uliotolewa na Paulo kwenye 1:3.

ni pendo

Inawezekana kumaanisha 1) upendo kwa Mungu au 2) kuwapenda watu.

kutoka moyo safi

Hapa "safi" inamaanisha kuwa mtu hana nia ovu ya kufanya mabaya. Na "moyo" hapa inamaanisha akili na mawazo ya mtu.

dhamiri nzuri

"dhamiri ambayo imechagua haki juu ya mabaya"

imani thabiti

"uaminifu" au "ukweli" au "isiyo na unafiki"

baadhi ya watu wamekosea

Paulo anaongelea imani ndani ya Kristo kuwa shabaha yetu.

na wameasi vitu hivi

"kuasi" kama ilivyotumika hapa ni msemo unaomaanisha kuwa watu wameacha kufanya maagizo ya Mungu.

walimu wa sheria

Hii inamaanisha "sheria za Musa"

Lakini hawaelewi

"ingawa hawaelewi" au "lakini hawaelewi"