forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
468 B
Markdown
24 lines
468 B
Markdown
# Ni nani atawasikiliza kuhusu jambo hili?
|
|
|
|
"Hakuna atakayewasikiliza katika jambo hili"
|
|
|
|
# Kwa maana mgawo ni kwa yeyote aendae
|
|
|
|
"kwa maana ni kwa ajili ya kila mtu aendaye"
|
|
|
|
# yeyote aendae vitani
|
|
|
|
mashujaa waliopigana katika vita
|
|
|
|
# watapata tena kilicho sawa
|
|
|
|
"atahakikisha kuwa kila mtu anapokea kiasi sawa"
|
|
|
|
# yeyote aliyelinda mizigo
|
|
|
|
watu waliowasaidia mashujaa kutunza na kilinda vitu vyao
|
|
|
|
# mzigo
|
|
|
|
vitu ambavyo mashujaa waliviacha nyuma walipokwenda vitani
|