forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
291 B
Markdown
16 lines
291 B
Markdown
# akawaokoa
|
|
|
|
"aliwaokoa" au "kuwa huru"
|
|
|
|
# Hakuna kilichopotea
|
|
|
|
"hakuna kilichopotea kati ya vilivyochukuliwa na Waamaleki"
|
|
|
|
# si kidogo wala kikubwa
|
|
|
|
Yaweza kuwa na maana ya 1) "watu wasio na umuhimu na wenye umuhimu" au 2) "watu wakubwa na wadogo"
|
|
|
|
# nyara
|
|
|
|
mali zilizoibiwa na Waamaleki.
|