forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
594 B
Markdown
24 lines
594 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anatupa taarifa kabla hajaendelea na simulizi.
|
|
|
|
# Basi Daudi alikuwa amesema, "Hakika ... wa kwake"
|
|
|
|
Msomaji anatakiwa aelewe kuwa Daudi alisema maneno haya kabla hajasema "Kila mtu afunge upanga wake" katika 25:12
|
|
|
|
# Basi Daudi
|
|
|
|
Neno "basi" linaonesha kuwa mwandishi ameacha kuandika kuhusu Abigaili na akaanza kuandika kuhusu Daudi.
|
|
|
|
# na vyote alivyonavyo hakuna kilichopotea
|
|
|
|
"Bado anacho kila kitu ambacho ni chake"
|
|
|
|
# Mungu na anitendee hivyo mimi
|
|
|
|
"Mungu awapige adui wa Daudi"
|
|
|
|
# wote wa kwake
|
|
|
|
"watu wote ambao wako chini yake" au "wale wa familia yake"
|