forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
354 B
Markdown
16 lines
354 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Sauli anaonyesha tamaa yake ya kumwua Daudi
|
|
|
|
# akamchukua Daudi
|
|
|
|
'"akamrudisha Daudi kwa Sauli"
|
|
|
|
# yeye akamuambia
|
|
|
|
Hapa "yeye" inamhusu Mikali.
|
|
|
|
# Mleteni kwangu akiwa kitandani
|
|
|
|
Sababu kwa nini watu walidhani Daudi alikuwa kitandani inaweza kuwekwa wazi. AT "Ikiwa yeye ni mgonjwa sana hawezi kuja kwangu, uniletee akiwa kitandani"
|