forked from WA-Catalog/sw_tn
639 B
639 B
Taarifa ya jumla:
Samweli anauliza kwa nini Sauli hakuwaangamiza kabisa Waameleki.
masikioni mwangu ... ninayosikia
Maneno haya yana maana sawa. "masikioni mwangu" ina maana ya "kusikia"
kilio cha kondoo ... milio ya ng'ombe
Hii ni milio ambayo wanyama hutoa. Lugha yako yaweza kuwa na maneno tofauti.
Wao wamewaleta ... watu waliwaacha
Watu hawa wanaozungumziwa hapa ni jeshi la Sauli.
Sadaka kwa Bwana Mungu wako
Sauli anajitetea kuwa wanyama kwa ajili ya dhabihu walikuwa sababu ya kutotii amri ya Bwana ya kutoangamiza kila kitu.
Bwana Mungu wako
Sauli hapa hamuelezei Mungu wa Samweli kama Mungu wake mwenyewe.