forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
639 B
Markdown
24 lines
639 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Samweli anauliza kwa nini Sauli hakuwaangamiza kabisa Waameleki.
|
||
|
|
||
|
# masikioni mwangu ... ninayosikia
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana sawa. "masikioni mwangu" ina maana ya "kusikia"
|
||
|
|
||
|
# kilio cha kondoo ... milio ya ng'ombe
|
||
|
|
||
|
Hii ni milio ambayo wanyama hutoa. Lugha yako yaweza kuwa na maneno tofauti.
|
||
|
|
||
|
# Wao wamewaleta ... watu waliwaacha
|
||
|
|
||
|
Watu hawa wanaozungumziwa hapa ni jeshi la Sauli.
|
||
|
|
||
|
# Sadaka kwa Bwana Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Sauli anajitetea kuwa wanyama kwa ajili ya dhabihu walikuwa sababu ya kutotii amri ya Bwana ya kutoangamiza kila kitu.
|
||
|
|
||
|
# Bwana Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Sauli hapa hamuelezei Mungu wa Samweli kama Mungu wake mwenyewe.
|